Thursday, November 13, 2008

HP Mini 1000, USED LAPTOP








$ 400


4 comments:

Anonymous said...

NATUMAINI HUJAMBO, MIMI NI MTANZANIA NIPO HAPO U.K. NINA DEGREE YA MASTERS IN BUSINESS ADMINISTRATION (MBA) TOKA HAPA UNITED KINGDOM, POSTGRADUATE DPLOMA IN MANAGEMENT STUDIES (PGDMS) TOKA UNITED KINGDOM NA ADVANCED DIPLOMA IN BANKING (ADB) TOKA TANZANIA, LEO HII NIMEONA BLOG YAKO TOKA KWA MICHUZI JUNIOR, NIMEONA MAGARI NA COMPUTERS, NI KWAMBA UNAFANYA BIASHARA HIZO AU UNAWATAARIFU WATU KUWA VITU KAMA HIVYO HUPATIKANA HUKO. MWISHO NINA-WAZO LA KWENDA NYUMBANI KUANZISHA BIASHARA YOYOTE ILE KWANI KUPATA KAZI KULE SITEGEMEI SANA KWA VLE I DON'T KNOW ANYBODY AND I AM NOT READY TO BRIBE ANYBODY TO GET A JOB, NILIJARIBU MWAKA JANA KWEDA HUKO NILIKAA MWAKA WITH MILLIONI APPLICATIONS FOR JOB SIKUPATA MPAKA NIKAAMUA KURUDI HUKU TENA. WAZO LANGU NI BIASHARA YA INTERNET CAFE AU CAR WASHING BUSINESS IN A SCALE OF A SOMEODY WHO HAS EDUCATION, SASA NATAKA KUJUWA UPATIKANAJI WA USED COMPUTER WITH BIG GIGA BITES, FAX MACHINES, TELEPHONE EQUIPMENTS, PHOTOCOPIERS, DIGITAL CAMERAS, CAM CORDERS NATAKA KUFAYA BIASHARA YA KISASA YA KISOMI, PIA UPANDE WA CAR WASH BUSINESS NATAKA KUFANYA YA KISOMI PIA NA YA KISASA JE KUNA USED VIFAA KWA BIASHARA HII HUKO AND HOW MUCH COSTS ANY OF THEM.

Anonymous said...

mkuu wewe ni mtanzania kama wengine lakini bei ya computer ya dollar 300 we unauza600 cio inshu kaa vp mi niko state hapa, Michigan. Usiwaumize kiiivyo wabongo wenzio kama hii mini laptop tena hp ni cheap sana huku acha wizi mkuu

Anonymous said...

Hallo mbona unataka kuwatia watu mchanga wa macho na hizo bei zako, maana laptop mpya inauzwa mpaka dolla 700 sasa wewe unauza used 1000 au pamoja na kutuma?

Anonymous said...

ok,mzee hiyo mpaka ya kutuma maana hapa kuna ambazo zina hdd,ram,ndogo kwa hiyo inategemeana kama utataka hd na ram kubwa pia bei inakuwa kubwa pia hapa kuna laptop mpaka za $ 200 kwa hiyo bei isikutishe mkuu.ahsante sana mzee kwa ushauri wako,pia kama utakuwa na laptop huko tunaweza pia fanya biashara,na kumbuka laptop made in japan ni nzuri sana na bei pia inakuwa ipo juu,kuliko za china bei yake upo chini